Ads 468x60px

Friday, July 12, 2013

WAFUNGWA 200 WATOROKA JAKARTA



Wafungwa 200 wametoroka baada ya fujo kutokea katika gereza lenye wafungwa wengi katika eneo la Medan kaskazini mwa Sumatra mjini Jakarta, Indonesia. 
 http://images.smh.com.au/2013/07/12/4564978/prison-w-620x349.jpg
Habari zinasema wafungwa hao walianza fujo baada ya maji na umeme kukatika katika gereza hilo la Tanjung Gusta. 

Wafungwa hao wanadaiwa kuvunja mlango mkuu wa gereza hilo na kudhibiti sehemu ya gereza hilo huku wakipambana na vikosi vya usalama.

0 comments: