Ads 468x60px

Thursday, July 11, 2013

WATU 15 WAPOTEZA MAISHA KENYA

http://kiswahili.irib.ir/media/k2/items/cache/0a25dffd6865b819330e7418c136a45a_XL.jpgWatu wasiopungua 15 wakiwemo wanafunzi wa shule wamepoteza maisha huko Kenya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka Jana jioni katika kaunti ya Kisii, magharibi mwa nchi hiyo.

Afisa mkuu wa polisi katika eneo la Gucha, Mark Ondego amesema mashuhuda wanasema kuwa basi hilo lilipoteza mwelekeo na kupinduka mara kadhaa. Kati ya watu walio poteza maisha nipamoja na dereva wa basi, wanafunzi na waalimu ambao walikuwa wakielekea katika eneo la Nyamache kwa ajili ya michezo ya shule.

Rais Uhuru Kenyatta ametuma salamu za rambi rambi kwa walio ondokewa na ndugu na jamaa zao na kutoa pole kwa majeruhi wa ajali hiyo . . Aidha Rais Kenyatta ameamurumajeruhi  wasafirishwe kwa ndege kutoka Kisii hadi Nairobi kwa ajili ya matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Kenyatt

0 comments: